Makapuku Forum

Makapuku Forum

e65e1e082fa47b91c945a21fdfd67f8e.jpg

Wazungu hamnazo
...
Wana-bet maisha ya watu!!!
 
Mkuu shimba kwanza pole na majukumu ya huko call me jay naomba ushauri aiiseh nna kamtaji kangu kadogo dogo kama mil.4 hiv ila nna ttzo moja tu nna matumiz mabaya ya pesa aiiseh yaani nisione kitu nakirukia mpaka naisi iyo mil.4 ndani ya mwezi itakuwa imeisha aiiseh.

Nashindwaga kujizuia yaani najikuta natoa pesa nanunua nguo na vitu vingine aiiseh yaani ni shidah mkuu nishauri bhas nifanyeje niache tamaa za kununua nunua mavi2 angalau niwe tajir sku moja.

Nawengine nishaurini jamani
Mkuu Mimi kreti ya bia naimaliza nikipata nyama choma ya kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom