Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Jamani familia yangu mko njema mimewamic sana jaman
ww ndio ukisaini talaka yangu na wkt bado nampenda baeUnamshtaki mlinzi gani mimi au
![]()
![]()
![]()
![]()
kukesha mpk nikiwa sawa na mumeShemu majukumu ya hapa na pale ndo mana napotea shem
Leo si tunakesha eti?
hahahahhahBoss sasa siku ukizirai kwa mfano nakubebaje iyo kilo niya gunia la
mpunga![]()
![]()
Naomba link Madenge...
Mkuu shimba kwanza pole na majukumu ya huko call me jay naomba ushauri aiiseh nna kamtaji kangu kadogo dogo kama mil.4 hiv ila nna ttzo moja tu nna matumiz mabaya ya pesa aiiseh yaani nisione kitu nakirukia mpaka naisi iyo mil.4 ndani ya mwezi itakuwa imeisha aiiseh.Ndiyo kusema njemba zimepungua au ni jamaa kazidisha wivu? Au mtongozwaji ka...
Kwema mkuu Shedede? Hapa mimi mtandao huku Koromije unasumbua balaa. Ukijumlisha na mihangaiko basi shida tupu!
Nisaini ili iweje shemu nawakati mnavyopendana na mimi napendaww ndio ukisaini talaka yangu na wkt bado nampenda bae
Kwan vip shemu hamko sawa ?kukesha mpk nikiwa sawa na mume
Kwel shem kaz nyingine hapanashedede nakupenda sana
Leta nikutunzie wakati unawaza la kufanyaMkuu shimba kwanza pole na majukumu ya huko call me jay naomba ushauri aiiseh nna kamtaji kangu kadogo dogo kama mil.4 hiv ila nna ttzo moja tu nna matumiz mabaya ya pesa aiiseh yaani nisione kitu nakirukia mpaka naisi iyo mil.4 ndani ya mwezi itakuwa imeisha aiiseh.
Nashindwaga kujizuia yaani najikuta natoa pesa nanunua nguo na vitu vingine aiiseh yaani ni shidah mkuu nishauri bhas nifanyeje niache tamaa za kununua nunua mavi2 angalau niwe tajir sku moja.
Nawengine nishaurini jamani
acha usharobaro tafuta maisha kuvaa kupo tu insta inakupoteza funga acc hukoMkuu shimba kwanza pole na majukumu ya huko call me jay naomba ushauri aiiseh nna kamtaji kangu kadogo dogo kama mil.4 hiv ila nna ttzo moja tu nna matumiz mabaya ya pesa aiiseh yaani nisione kitu nakirukia mpaka naisi iyo mil.4 ndani ya mwezi itakuwa imeisha aiiseh.
Nashindwaga kujizuia yaani najikuta natoa pesa nanunua nguo na vitu vingine aiiseh yaani ni shidah mkuu nishauri bhas nifanyeje niache tamaa za kununua nunua mavi2 angalau niwe tajir sku moja.
Nawengine nishaurini jamani
NdioKhaaaaaa![]()
Khaaaa hivi boss wangu amerukwa na akil auacha kujisahaulisha nilipewa talaka ndio nabembeleza hapa uje tu
Tupo salamaJamani familia yangu mko njema mimewamic sana jaman
unakumbuka ile siku nilimtania mpk leo ila jion alinisamehe akaniambia nisiongee mambo ya chelsea nikamtaja pogba kakasirika tena nimemwambia simtaniii tenaKwan vip shemu hamko sawa ?
ahhhaha kwahiyo unataka kazi ganKwel shem kaz nyingine hapana
Wapi![]()
![]()
![]()
shemu nilikuwepo tuu nipo nipo