Hukuwahi kusikia andiko linasema ''Mke mwema anatoka kwa bwana'' ? Ndo maana tunawapenda Zaidi hawa ambao wameshakuwa na mabwana in case akiachika niwe shortlisted wakati akitoa form za usaili mpya!
Hukuwahi kusikia andiko linasema ''Mke mwema anatoka kwa bwana'' ? Ndo maana tunawapenda Zaidi hawa ambao wameshakuwa na mabwana in case akiachika niwe shortlisted wakati akitoa form za usaili mpya!