Nakuaminiaaa bhinamuuMdau Nyagei , nilitingwa na mambo ya bundle but hakijaharibika kitu, nyuzi za gitaa ni tamu japo ninajua wengi si shabiki wazo.
Heri ya Pasaka.
Usiku huu nitamtupia guitarist moja mwenye Uarabu wa jangwani wakimuita Hendrix wa Jangwani
Sawa mkuu lNi kweliii
Nawe pia mkuu mungu akuangazie nuru yakeUsiku mwema wandugu
Vip umemaliza kupiga sehemu za za utupu!mbona naona wishes tu
pilau vepeee
kazi njema huko kwenye wrestlingmuwe na usiku mwema panapo mapenzi ya Mungu tutaonana kesho
mlindwe na damu ya Yesu
za siri mkuuVip umemaliza kupiga sehemu za za utupu!
uwajibike vyema kila la heriUsiku mwema wandugu
Woyoooooouwajibike vyema kila la heri
nambie tozWoyoooooo
Yes katibu mkuuMlinzi uko siliasi ??
Ahsantesawa nyagei enjoy
ThanksAsante nashukur na kwako pia
Today is your birthday!
May you receive even more blessings than you ask for, and may all good things continue to come your way.
Life is what you make of Keep making yours count each and every day. The skies are clear for you at all times. Happy Birthday
Ni mbuzi ya kuchomaNaona unajipatia broiler swaafiiii mlinzii
unayajua bana halaf nasubilia na ww picha yako upost kama nyagei niangalie mayonaise yapo
Bravo mkuuWengi tunawajua waTuareg kama kabila linalopigana kujitenga katika nchi ya Mali, walichukua sehemu kubwa sana ya Mali na kutangaza kujitenga. Hili sio la kujadili muda huu.
Hapa namleta mkung'uta gitaa maarufu kutoka pande hizi Omar al- Moctar almaarufu Bambino, huyu ni maarufu duniani hasa kwa muziki wake wa kiharakati.
Hapa muone akicharaza gitaa kwa umahiri kiasi cha kufananishwa na Jimi Hendrix.
Hii ni video ya YouTube, akiwa ameruhusiwa na Sultan kuperform.
Kuna 'shehe' mmoja namfananisha na ustaadhi Nyundo wa Rufiji/Kibiti
Aah hongera mkuu nae mwambie namtakia kila la heri na dreams zake ziwe kweli na Allah awape kila lenye neri nanyiThanks
Although it's my son's birthday also