Dindai
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 933
- 1,665
yeah chama la kimataifa leo tunapiga mtu nyingimi yanga...Usisahau kuweka matokeo
yeah chama la kimataifa leo tunapiga mtu nyingimi yanga...Usisahau kuweka matokeo
hapana, maybe lager zimehack mfumo wako wote mwilini..Sio kwa ile mitusNahic account yangu imekuwa hacked
karibuni![]()
Aiii mwambie kizuri ale na nduguye.Bora umesema mapema maana huyu mwanamke anawivu ni balaa.
Lazima tuwachezee kigodoro....Leo mtakimbia humu.
Asante mshanaView attachment 341163nawe karibu
Usijali mama,najua analifahamu hilo.Aiii mwambie kizuri ale na nduguye.
mi bora nkae kimya tuyeah chama la kimataifa leo tunapiga mtu nyingi
Mbona mikia ikifungwa haikimbii??? Basi mtakimbia nyie sisi mtatuachaLeo mtakimbia humu.
Hhahaha,hivyo vyakula vya wanaume wa dar.![]()
![]()
hapo umeutamani
Nyie wa mkoani mnakula nn? Magimbi au?Hhahaha,hivyo vyakula vya wanaume wa dar.
Mkipakatwa msisite kutupia matokeo hapa.Mbona mikia ikifungwa haikimbii??? Basi mtakimbia nyie sisi mtatuacha
BaelezeeeeeeeYanga: Daima mbele, Nyuma mwiko
Mihogo na magimbi.Nyie wa mkoani mnakula nn? Magimbi au?
Nshakuona mpenzi, za mida vipi baby!iam back hny
Ndio mmekakamaa mkienda dar mnalalamika hamshibiMihogo na magimbi.