Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,446
- 829,809
Hata sijui nikwambie nini baby wangu
Malavidavi....Niambie chochote mpenz
.....vijana wa sasa maridadi sana....
Hata sijui nikwambie nini baby wangu
Malavidavi....Niambie chochote mpenz
Nikikwambia nakupenda naona kama haitoshi vile babyNiambie chochote mpenz

Athali za ugongwa wa zika ndiyo hizi.I see big up bitoz Kwa kukusanya Hawa watu wako wa Makapuku kidogo jf kumetulia
Au RevolaUkitaka kuwa stress free ishi single na unapojisikia hamu kachukue teki awei za uswazi

Tafadhali tafsiri haya maneno fasta "Nyama ya kobe".........Mkuu takeaway si nzuri.
Utakula mpaka nyamaa ya kobe.
Hujajua tu kuchagua tena si afadhali hata hiyo nyama ya kobe? Huko kuna kissme double impact![]()
![]()
![]()
![]()
ni nouma
Kumbe tupo wengiMimi pia sijaelewa.
Asante honey! Nakupenda zaidiNikikwambia nakupenda naona kama haitoshi vile baby
Baby we ndio chagua la moyo wangu.
Bob Rudala-nimekuchagua wewe![]()
![]()
Tafadhali tafsiri haya maneno fasta "Nyama ya kobe".........
Kissme double impact.........

Hahahahaa sisi vijana wa zamani kidogoMalavidavi....
.....vijana wa sasa maridadi sana....
Labda muulize mshana jrTafadhali tafsiri haya maneno fasta "Nyama ya kobe".........
Kissme double impact.........
Basi inatosha
Thank you lizziebettie wanguAsante honey! Nakupenda zaidi
Mshana tafadhali bana tusikosane.....