Mchwa hawalali mkuuKhaaa!! Yaani humu ndani sijui hata kama huwa mnapata muda wa kula au kulala, mmh kweli nyie makapuku hakika jina hili linasadifu na yanayo endelea humu maana kila niingia naona mpo mbele thread ya 50 hv
Mwendo mdundo..Sababu ya straika wao
From Simba
Manchester United and KRC GENK
BTW Samatta anatuwakilisha kule Spain leo
Boss kwemaPamoja mkuu.
Kafanyaje?Tena huyu Sakayo ndio balaa
Ni katibu mueneziNa shunie
Hahahaaaa!Possession
Juventus 29% Barcelona 71%
Score
Juventus 3 Barcelona 0
Lesson: Romance doesn't make A baby
Watoto wa mama mmoja..Na shunie
Watoto wa mama mmoja..Tena huyu Sakayo ndio balaa
Kibongo bongo game ya Manchester pamoja na GENK ndizo zitakazokuwa on airMwendo mdundo..
Kwema...! Yuko wapi?Boss kwema
SanaaKibongo bongo game ya Manchester pamoja na GENK ndizo zitakazokuwa on air
Hahahaaaa!
Unaweza ukapiga romance za kispanish..mwenzako akapiga kitu inaitwa pre-mature ejaculation tuu mtoto tayari..
KaziniKwema...! Yuko wapi?
Miaka 22 tu.alikuwa na umri gani?
....
AiseeMiaka 22 tu.
Kunaulekeo laia ana lazimishwa na kiongozi au viiongozi hata kama sio chaguo lake.... Just tryingAliyemuelewa kirat...
Hahahaaa halafu nilikusahau na wwMchwa hawalali mkuu
Kila dakika hawakosekani humuKafanyaje?
Ni katibu muenezi
Inawezekana kwakweliWatoto wa mama mmoja..
Watoto wa mama mmoja..
Duh mkuu mi nasubiria tu hii movie, naona ishara zote za ww3 zimeshaanzaUPDATE ZA TRANSCEND
Rais wa korea kaskazini kim jung-un akizindua wa ujenzi wa makazi huko Ryomyong katik jiji la Pyongyang.
Rais wa korea kaskazini kim jung-un alipowasili kwa ajili ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba za makazi huko Ryomyang jijini pyongyang leo
Eneo linalo aminika kuwa kuna majaribio ya kombora la nyuklia litafanyika jumamosi hii. Kumekuwa na shunguli ngingi sana kwa siku za hivi karibuni.
Russia wako upande wa N.korea wakipinga mashambulizi ya marekani zidi ya syria na N.korea
China wako upande wa wamarekani tayari...na baadhi ya mataifa ya Nato.
Vuguvugu linaendelea huko asia...
Hii weekend inaweza kuwa na matukio ya kutisha.