Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Leo katika Historia:
1922 - Simon Kapwepwe anazaliwa.
Alikuwa ni Makamu wa pili wa Rais nchini Zambia.
1924 - Raymond Barre anazaliwa.
Alikuwa ni Mchumi na Waziri Mkuu wa Ufaransa.
1936 - Charles Napier anazaliwa.
Msanii wa filamu kutoka nchini Hollywood.
Moja ya filamu alizocheza ni First Blood part II ya Rambo.
Milele aminaaIlikuwa usiku, hatimae kumekucha!ni upendeleo tuu wa Mwenyezi Mungu kwa majaaliwa haya, sifa na utukufu ni zake,tuzidi kuomba huruma zake atujaalie kutumia wakati kwa kutenda yampendezayo ili kupata kheri duniani na kesho kwenye ufalme wake, nawatakia wepesi ktk kazi za mikono yenu,siku njema!
1941 - Bobby Moore anazaliwa.
Beki na kepteni wa zamani wa West Ham na timu ya taifa ya England.
Ndio kepteni pekee wa England kubeba kombe la Dunia walipofanya hivyo mwaka 1966 katika mashindano yaliyofanyika kwao Uingereza.
Ndio kepteni mdogo zaidi katika historia ya Soka la Uingereza baada ya kupewa Unahodha akiwa na miaka 22 tu.
Alifariki Dunia mwaka 1993, kwa heshima yake Jezi namba 6 haivaliwi tena kwenye klabu ya West Ham.
Waingereza wamejenga sanamu yake nje ya Uwanja wa Wembley kama njia ya kumuenzi.
1942 - Jacob Zuma anazaliwa.
Ni Rais wa 4 na wa sasa Nchini Afrika ya Kusini.
Same to hyuMorning wakuu
Ujumbe mzurNUKUU YA LEO
Someone is sitting in the shade today because someone planted a tree a longtime ago
Kuna mtu amekaa kwenye kivuli leo kwa kuwa kuna mtu alipanda mti siku nyingi
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mwekeaji, mfanyabishara wa kimarekani Warren Buffett aliyezaliwa 30/08/1930 ktk jiji la omaha, Nebraska nchini marekani.
Buffet kwa sasa ni tajiri no. 2 akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia $ 75.6 billion.
Buffett ni mkurugenzi na mmiliki wa makapuni ya Barkshire Hathaway yenye makao makuu mji wa omaha, Nebraska.
Morning motivational.
Buffet anazungumzia maisha ya baadaye, ili uweze kuwa na maisha mazuri lazima uwe na maadalizi sasa hivi..
Panda mti leo ili kesho ufaidi kivuli chake, panda mti ili ufaidi matunda yake..
Transcend.
Na wewe piaUjumbe mzur
Uwe na siku njema
Cc:mshauri
1948 - Marcelo Lippi anazaliwa.
Kocha wa zamani wa Juventus, Inter Milan, Napoli, timu ya taifa ya Italy na sasa timu ya taifa ya China.
Ndio Kocha aliyewapa Italy Kombe la Dunia la Mwaka 2006 katika mashindano yaliyofanyika Ujerumani ambapo Fainali Italy anamfunga Ufaransa kwa matuta.