Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

Someone is sitting in the shade today because someone planted a tree a longtime ago

Kuna mtu amekaa kwenye kivuli leo kwa kuwa kuna mtu alipanda mti siku nyingi


Haya maneno yalipatwa kusemwa na mwekeaji, mfanyabishara wa kimarekani Warren Buffett aliyezaliwa 30/08/1930 ktk jiji la omaha, Nebraska nchini marekani.

Buffet kwa sasa ni tajiri no. 2 akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia $ 75.6 billion.



Buffett ni mkurugenzi na mmiliki wa makapuni ya Barkshire Hathaway yenye makao makuu mji wa omaha, Nebraska.




Morning motivational.

Buffet anazungumzia maisha ya baadaye, ili uweze kuwa na maisha mazuri lazima uwe na maadalizi sasa hivi..

Panda mti leo ili kesho ufaidi kivuli chake, panda mti ili ufaidi matunda yake..

Transcend.
 
That's true Mr T
 
Mkuu iko vizr hii... Inatupa morali ya kutimiza wajibu leo.... Ubalikiwe sana
 
Word, Thanks.
 
Ilikuwa usiku, hatimae kumekucha!ni upendeleo tuu wa Mwenyezi Mungu kwa majaaliwa haya, sifa na utukufu ni zake,tuzidi kuomba huruma zake atujaalie kutumia wakati kwa kutenda yampendezayo ili kupata kheri duniani na kesho kwenye ufalme wake, nawatakia wepesi ktk kazi za mikono yenu,siku njema!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…