AnavipendaaaaAaaaaah!
Ninyi mnataka kunipangia sasa!
I loved her as i found her..! Mungu na dunia vilishamshape hivi alivyo..
Sitaki kumodify chochote..! Nampenda hivi hivi..otherwise atake yeye
Tatizo hamnieleweshi bhanaAhaaaaaaa
Chelsea bhanaaaaah
Kwa my wife shunieeUnaenda wapi labda
Club za mpira...Hizo man u na Madrid ndo vitu gani
Ok nakuelewesha mpira ...mguu wa mtoto atakuelekeza Mr TTatizo hamnieleweshi bhana
Asante loveAaaaaah!
Ninyi mnataka kunipangia sasa!
I loved her as i found her..! Mungu na dunia vilishamshape hivi alivyo..
Sitaki kumodify chochote..! Nampenda hivi hivi..otherwise atake yeye
Ngoja nakufundisha pole poleeee...Asante love
Nakupenda pia!!!
Mie nilitaka nijuemo mpira kidogo bhana, hizo posts za Nyagei huwa naona kizunguzungu kuzisoma!! Naishia ku like tu!!
Hapo moyo wangu kwaaatuuuAwwwwwh!
Hivi niliku-qoute wewe...
My everything..
My lovely woman..
My breath...
Sipendi mguu mie!!Anavipendaaaa
Nenda sasa, mie niko na T wangu hapaKwa my wife shuniee
EeenheeClub za mpira...
Kwanza babu kuna Timu za Taifa afu kuna Club za mpira.
Timu ya Taifa inazaidi ya vikosi 3..
Kuna team kubwa-kwa anijili ya michuano ya kimataifa..
Kuna timu za vijana- Under 21
-under 19
-under 17
Kwenye vilabu vya mpira pia kuna team za vijana na team za watoto pia..
Unaelezea mpira lakini akili iko kwa mguu wa mtoto!!!Ok nakuelewesha mpira ...mguu wa mtoto atakuelekeza Mr T
Ipende Chelsea shem ni timu iliyopo London na inafunga kila mechi na kutwaa ubingwa ...kwa nyie warembo kuna mahb wa kutosha
Asante mume wanguNgoja nakufundisha pole poleeee...
Mpira nitakufundisha mimi, afu mdogo wako shunie na nyagei watakuwa wanaongezea ongezea kidogo...Asante mume wangu
Ni vile Nakupenda tuu
Asante mume wangu!!!Mpira nitakufundisha mimi, afu mdogo wako shunie na nyagei watakuwa wanaongezea ongezea kidogo...
Hapa Tz, sina wasiwasi sanaa maana najua unapenda Yanga ...mimi mmeo ni simba..
Kila nchi kuna ina mashindano ya vilabu vya mpira ( yaani ligi) na pia kuna mashindano ya kimataifa..
Kama sasa hivi hapa Tz kuna team ya serengeti boys -ambao ni U17 hawa wako kambini nchini morocco kwa ajili ya mashindano ya bara la Africa..
So hapa umeshaelewa sasa kuwa kuna vilabu kama simba, yanga, azam,mbao Fc, majimaji mbeya fc. n.k
Lakini pia kuna team ya taifa..
Kwa kuongezea mkuu;Pia kumbukumbu muhimu nyingine ni kwamba Jenerali David Musuguri alikuwa mstari wa mbele kuongoza vita
Ni mmoja kati ya Majenerali wa JWTZ aliyeacha heshima mkubwa
....
Ni nzuri mkuuKwema habari ya usingizi?
Ona picha za zile klabu za mpira ambazo nilitamani uwe shabiki wake...Asante mume wangu
Ni vile Nakupenda tuu
Ubarikiwe sana nyageiHabarini za asubuhi Makapuku?
Neema ya bwana ikatuangazie siku ya leo