Makapuku Forum

Mama wa vana vangu..

Wa milele..

Mupenzi ya baba...

Nakutakia usiku mwema mama...

Ulale unono..
Nakuelewaga sana mume wa Sakayo!!!
Ni venye unajua kuliweka tabasamu usoni mwangu!!!

We ndo mwanaume ambae natamani niwe nae milele!!!

Najua Mungu amekuleta kwangu makusudi, ili niwe mwanamke wa kwanza kuwa na tabasamu la milele!!!!

Umefanikiwa kuuteka moyo wangu, naomba baki nao mpenzi!!!!! Baki nao ufanye venye unapenda, sioni sehemu salama yakuupeleka mpenzi!!!!!

Majina mazuri yooote nimekwisha yaita sioni la kukuita linaloweza kuuridhisha moyo wako, ila nikisema NAKUPENDA najua venye moyo wako unafeel!!! Then NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA, NAKUPENDA!!!

Naomba ulale mume wangu!!! Mungu wangu na akufunike kwa damu yake usiku waleo!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…