Makapuku Forum

Makapuku Forum

6fb9ee153e52a79ec225baf9b643f006.jpg

Maiti imepatikana
R.I.P
..........
 
Taharuki jambilo atishia ndoa za watu, wamo wake wa vigogo wa KAPUKUZ FORUM [KF], atumia Neno la Mungu kama ndoano!!

Yule Mch. aliyejizolea sifa na heshima tele hapa KF imefahamika rasmi kuwa ndiye kidudu mtu anayevuruga mahusiano ya watu kwa kigezo cha sala.

Mmoja wa wanafamilia wa KP (jina kapuni) amedhibitisha kuwa toka mwishoni mwa wiki ndoa yake iliyokuwa changa inaelekea kuvunjika sababu ikiwa ni Mch. jambilo, "ni Kweli nipo kwenye wakati mgumu toka huyu Mch. aniombee naona kuna dalili zakuachwa, wife anaondoka bila kuaga, nikim txt wala hajibu kitu kwa kweli sielewi kabisa"

Naye mmoja wa member mkongwe wa KF ametoa ya moyoni kwa kusema "jambilo anatupia watu roho ya kukataliwa, toka ameingia hali si shwari tena, kinachouma zaidi anatumia neno la Mungu kumhadaa mpenzi wangu, alimaliza kwa kusema ila ipo siku yake.

Baada ya shutuma hizo, tuliamua kumtafuta kama ni kweli au laa na alisema kwa sasa nipo kwenye maombi nitafute mda mwingine
 
MZUNGU NA MBONGO walipanda ndege na
wakakaa siti moja lakini mzungu alijiona yeye
mjanja kuliko mbogo:mzungu akamwambia
mbogo tuulizane maswali wewe ukishindwa
utatoaa 500/= na mimi nikishindwa nitatoa
100,000/= Mzungu akamuuliza Mbongo na
nchigani ilishinda vita kuu ya dunia? Mbogo akatoa
500/= kuashiria ameshindwa :Mbongo nae
akamuuliza Mzungu nikitugani kikienda juu kina
miguu minne na kikishuka chini kinamiguu
mitatu? Mzungu akafikiriaa sana mwisho akakosa
jibu ikabidi atoe 100,000/= Kisha Mzungu akataka
kujua nikitugani hicho akamuuliza Mbongo? Mbongo
akatoa 500/= kumaanisha hajui. Mzungu hoi
......like kama unamkubali Mbongo kuwa anaa akili
nyingi. Lakini unafikiri atakuwa anatokea mkoa
gani?
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom