Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
As fake pastor or!Unakaribishwa sana braza.
As fake pastor or!Unakaribishwa sana braza.
Acha ukwaredu saiv hii kitu imeiva yafaaa kuliwa namba pliz
Acha ukware
![]()
![]()
![]()
................
No doesn't, as a real PastorAs fake pastor or!
Vipi Mkuu, kuna tatizo kwani?ee bwana dah!
![]()
Maiti imepatikana
R.I.P
..........
Inasikitisha sana.![]()
Maiti imepatikana
R.I.P
..........
Jipange, tutaicheza later mkuu, naona jukwaa limepoa sn, jimena,lizzie,ameizing,youngbood,mandelaa, th name na wengine jipangeni baadae kidogo ngoja tumalizie majukumNo doesn't, as a real Pastor
hakuna mkuu!Vipi Mkuu, kuna tatizo kwani?
Taharuki jambilo atishia ndoa za watu, wamo wake wa vigogo wa KAPUKUZ FORUM [KF], atumia Neno la Mungu kama ndoano!!
Yule Mch. aliyejizolea sifa na heshima tele hapa KF imefahamika rasmi kuwa ndiye kidudu mtu anayevuruga mahusiano ya watu kwa kigezo cha sala.
Mmoja wa wanafamilia wa KP (jina kapuni) amedhibitisha kuwa toka mwishoni mwa wiki ndoa yake iliyokuwa changa inaelekea kuvunjika sababu ikiwa ni Mch. jambilo, "ni Kweli nipo kwenye wakati mgumu toka huyu Mch. aniombee naona kuna dalili zakuachwa, wife anaondoka bila kuaga, nikim txt wala hajibu kitu kwa kweli sielewi kabisa"
Naye mmoja wa member mkongwe wa KF ametoa ya moyoni kwa kusema "jambilo anatupia watu roho ya kukataliwa, toka ameingia hali si shwari tena, kinachouma zaidi anatumia neno la Mungu kumhadaa mpenzi wangu, alimaliza kwa kusema ila ipo siku yake.
Baada ya shutuma hizo, tuliamua kumtafuta kama ni kweli au laa na alisema kwa sasa nipo kwenye maombi nitafute mda mwingine

Powaa...Jipange, tutaicheza later mkuu, naona jukwaa limepoa sn, jimena,lizzie,ameizing,youngbood,mandelaa, th name na wengine jipangeni baadae kidogo ngoja tumalizie majukum
Ajali ya gari kuserereka hadi kuzama kwenye bahari na kuuwa wawili.Nimepitwa nini hapa KF
Ajali ya gari kuserereka hadi kuzama kwenye bahari na kuuwa wawili.
ndo nimeingia now, twende pamoja ..Jipange, tutaicheza later mkuu, naona jukwaa limepoa sn, jimena,lizzie,ameizing,youngbood,mandelaa, th name na wengine jipangeni baadae kidogo ngoja tumalizie majukum