Mwezi wa tatu tu nilimkuta mtoto wa miez sita hospitali,anateseka sana sana mama ni binti mdogo,mume kakimbia so sad
wamama tuwaombee sana maana kukimbiwa wakati wa changamoto kama hz kupo hasa ukipata watoto wenye mapungufu ya viungo..Au ubongo Mungu atusaidie sana kuwa na huruma