Makapuku Forum

Nakumbuka akati nasoma divinity kuna sehemu tulisoma kua wanaisraeli hawakutumia njia ya moja kwa moja kwa sababu kulikua na maadui huko kwahiyo iliwabidi wazunguke sana kukwepa maadui
Thats very true...

Na wala hawakutembea siku zote..!

Utakumbuka hata wakati Mungu anamuita musa kumpa Ten commandments kule mlima sinai wana wa izrael walimsubiria..

Hawakutembea siku zote! And it was more than a zigzag movement..
 
hali ya hewa mubashara kabisa....kuhusiana na kilimo cha watoto......kwenye familia .....
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚...kama blaza lee shamba lako laonekana lipo tayari kabsaa kupandwa....πŸ˜€πŸ˜€....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…