BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nawe pia dear ubarikiweUsiku mwema wana family
Bae usiku mwema mpenzi!!! Nakupenda na naomba Mungu akulinde usiku mzima na kesho tuwe wote ukiwa mzima wa afya.
Nakuwaza wewe tuu
Nawe pia dear ubarikiweUsiku mwema wana family
Bae usiku mwema mpenzi!!! Nakupenda na naomba Mungu akulinde usiku mzima na kesho tuwe wote ukiwa mzima wa afya.
Nakuwaza wewe tuu
Hahaha so sad crying!just take it easy itapita tu.
siku ukianza kupiga masanga ndo utajua maana ya kutake things easy. Amen kwa mibaraka mama mchungajiHahaha so sad crying!just take it easy itapita tu.
Niko bomb mbaya sana kama wine ya zabibu zilizochachaMorning my family hope uko bombs mkuu
Ni siku njema Mungu ametupa
mmmmmh, hadi wewe na maneno haya ya kikanisakanisa, unakotaka kwenda nishakuona (joke)
Mungu ni mwema siku zote
Tatizo umedandia treni kwa mbele, huna background ya kf, ukisoma posts za nyuma hapa utajua mimi ni nani
Morning mkuu tuko poaMorning my family hope uko bombs mkuu
Morning my princess..Bae
Nawe pia ulale salama!!! Mungu wangu na akufunike kwa damu yako.
Nakupenda mpaka moyo wangu wasukuma tu jina lako umegoma kusukuma damu, T naamini wewe ndo mwanaume wa maisha yangu.
Nazidi kukupenda
Unaaamaaaanishaaaa......mmmmmh, hadi wewe na maneno haya ya kikanisakanisa, unakotaka kwenda nishakuona (joke)
Mungu ni mwema siku zote