Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Anasikia saaanaShunie msikiee dadako
Anasikia saaanaShunie msikiee dadako
mshale dada napenda ndizi mm ole wako unidanganyeNdizi gani
Hahahahahahah kweli haujaona pale tunasalimiana akatuquote mnaonaje mkaenda pm![]()
Mkuu umerudi kudandia mademu wa hapa Makapuku? Hapa ngoma nzito kwa sababu inavyoonekana kila aliyeko hapa tayari keshagandwa na njemba tena njemba zenyewe zina wivu wa ajabu nyegere cha mtoto. Endelea kujaribu bahati yako mkuu.Njoo kwangu jamani
Nakupenda pia baby mwaah mwaaah mwaaaah ukitoka hapo umejaa mateNakupendaa shunie

Hahahanimekua bubu ghafla![]()
Khanga unayovaa siku za kawaida ni tofauti na ila ya kuvaa labour..manake hiyo ya labour huwa kama inawasha yaaani unaweza ukaivua tuu ukaifichahahhahah shemela hivi unanionaje mm mbona ndio vazi langu hilo



ila kweli umeteseka simu zote sipatikan nahisi uliamini ulivyoona sipatikanikSio kwa kunichosha kule
hahahhah alipigaAmekupigiaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Nimeamua kukaa mjini mpaka kesho, ili tuu nikupate hewanimbona badae alinipigia simu nikaongea nae
Sanaaa hapafai wanaringa na thread zaoHahaha
Akajambe mbele, yaani saivi mmu pamekuwa pa hovyo

wanaona utajiriAsante laazizi wa miePoleeeee
Mkuu umerudi kudandia mademu wa hapa Makapuku? Hapa ngoma nzito kwa sababu inavyoonekana kila aliyeko hapa tayari keshagandwa na njemba tena njemba zenyewe wivu wa ajabu nyegere cha mtoto. Endelea kujaribu bahati yako mkuu.




hahahahhahKhanga unayovaa siku za kawaida ni tofauti na ila ya kuvaa labour..manake hiyo ya labour huwa kama inawasha yaaani unaweza ukaivua tuu ukaificha![]()
ila umepata dhambi ujue