Wapendwa Makapuku naamini mko salama na Mungu anazidibkuwatetea,mumi namshukuru Mungu sijambo baba mchungaji pia hajambo,naomba Mungu azidibkututetea na kutubariki wagonjwa wapone,wenye changamoto zozote zipite na tuwe na amani na mshikamano siku ya ijumaa ya leo iwe ya baraka tele,nawapenda sana mbarikiwe.