mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Mkuu tuunganishe ngumu naiona tz iliyo njema yenye Furaha bila kauli za maudhi za sizonje!!Isambaze Whatsapp kwanzia leo usiku...
Hadi jmosi itakuwa imefika kwa watu zaidi ya 5milion..
Mkuu tuunganishe ngumu naiona tz iliyo njema yenye Furaha bila kauli za maudhi za sizonje!!Isambaze Whatsapp kwanzia leo usiku...
Hadi jmosi itakuwa imefika kwa watu zaidi ya 5milion..
Kama ulikuepo vile daah.Itakuwa anamuwinda Baanange
Kwa bombardier nauli sh ngapi .. Nikianzia safari kiaTuliza boli. Wake za watu hawa wa siku hizi hawa? Mambo iko Rwanda mkuu.![]()
Usiwe muoga mkuu!Niko hapa jooh
Sipendi ligi mkuuUsiwe muoga mkuu!
Makapuku Tunapendana sana!
Welcome back..
Nini Mkuu hiyoAtakijibu mkubhi
160kKwa bombardier nauli sh ngapi .. Nikianzia safari kia
Na huko ni jotoTuliza boli. Wake za watu hawa wa siku hizi hawa? Mambo iko Rwanda mkuu.![]()
Aliuliza eti nami natenga au natengewa chakula cha usiku?Nini Mkuu hiyo