Makapuku Forum

Makapuku Forum

7f6cafb359b8f0762cb7b32e54ad7c0f.jpg
94dfc9bd254d943d0d7019ab989b592c.jpg
34746a1b3745541c30726dc2a7001bc5.jpg
bc10d0c802925a918ffac3d5a57d605e.jpg
74b9b0b62f255ea984ab3b4c602fc64b.jpg

Jamaa ni fundi
Ajax ya LVG ilikuwa moto
Huyo kipa sio Van Der Sar?
......
....
Wala hujakosea Mkuu ndio yeye. Ajax hiyo ilikuwa shida sana licha ya kuwa na vijana wengi kwenye kikosi kama vile Frank Na Ronald De Boer, Seedorf, Edgar Davids, Kluivert, Finidi George, Frank Rijkaard na Danny Blind ( Baba yake na Daley Blind wa Man Utd ) walimfunfa bingwa mtetezi Ac Milan kwenye fainali.
 
Wala hujakosea Mkuu ndio yeye. Ajax hiyo ilikuwa shida sana licha ya kuwa na vijana wengi kwenye kikosi kama vile Frank Na Ronald De Boer, Seedorf, Edgar Davids, Kluivert, Finidi George, Frank Rijkaard na Danny Blind ( Baba yake na Daley Blind wa Man Utd ) walimfunfa bingwa mtetezi Ac Milan kwenye fainali.
Duh hao vijana baadae wakaenda kutamba sehemu tofauti tofauti

Nafikiri kilikuwa kikosi chenye umri mdogo zaidi kubeba UEFA
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom