Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,249
Shukrani mkuuAhsante ndugu Mussolin5 kwa historical segment
Shukrani mkuuAhsante ndugu Mussolin5 kwa historical segment
Wala hujakosea Mkuu ndio yeye. Ajax hiyo ilikuwa shida sana licha ya kuwa na vijana wengi kwenye kikosi kama vile Frank Na Ronald De Boer, Seedorf, Edgar Davids, Kluivert, Finidi George, Frank Rijkaard na Danny Blind ( Baba yake na Daley Blind wa Man Utd ) walimfunfa bingwa mtetezi Ac Milan kwenye fainali.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa ni fundi
Ajax ya LVG ilikuwa moto
Huyo kipa sio Van Der Sar?
......
....
Home sickness ( kuwa mbali na nyumbani ) ilimsumbua sana.![]()
![]()
Sijui kwanini katimka England![]()
....
Ni mtu na kaka yake. Eden ndio mkubwa.![]()
![]()
undugu wao ukoje?![]()
...
Hapo nimepata jibu mubasharaUkumbuke kuwa, Vietnam ya Kusini ilikuwa supported na Soviet Union ( Russia )
Huku Vietnam ya Kaskazini ikiwa supported na Marekani.
Hivyo ilikuwa ni vita ya Urusi dhidi ya Marekani katika ardhi ya Vietnam.
Pamoja katika kaziShukrani mkuu
Duh hao vijana baadae wakaenda kutamba sehemu tofauti tofautiWala hujakosea Mkuu ndio yeye. Ajax hiyo ilikuwa shida sana licha ya kuwa na vijana wengi kwenye kikosi kama vile Frank Na Ronald De Boer, Seedorf, Edgar Davids, Kluivert, Finidi George, Frank Rijkaard na Danny Blind ( Baba yake na Daley Blind wa Man Utd ) walimfunfa bingwa mtetezi Ac Milan kwenye fainali.
Sijajua ila inawezekana kabisa kikosi cha wenye umri mdogo kubeba UCL.Duh hao vijana baadae wakaenda kutamba sehemu tofauti tofauti
Nafikiri kilikuwa kikosi chenye umri mdogo zaidi kubeba UEFA
....
Vipi mkuu hali yako ?pole sanaAmen
Asante na wewe pia mume wanguMorning mke wangu S
Hubby loves you so much
Uwe na asubuhi njema, na kazi njema pia...
Take care as long as you have my heart...
Kafanyaje tenaaMsalimie shunie...
Manake wameshampiga ban
Ukitia mguu huko mume wangu mie nakuacha hadharaniNiambie basiiiii
MmmmhShunie nifungulie pm kwa dakika 10 tuu..
NashangaaMmh kuna nn tena ya pm shemela
MmmmhSecret!
Ndo wapi huko...shunie hataki kuniambiaUkitia mguu huko mume wangu mie nakuacha hadharani
Kamuwakia jamaa flani mwenye maneno ya shombo...Kafanyaje tenaa
Nilitaka animbie huko ambako hutaki niende...Nashangaa
Hahahaaa! Tulia wangu..Mmmmh