Makapuku Forum

Makapuku Forum

1943 - John Major anazaliwa.

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza kutoka 1990 mpaka 1997 kabla ya kumpisha Tony Blair.
ab8076ccea43c4263acc24868fda1c4a.jpg
e66f2ac498b18a69d743c1fcb5c306ce.jpg
d11467b3796ca560bfb2fdfa63d31784.jpg
 
1972 - Rui Costa anazaliwa.

Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Fiorentina, Ac Milan, Benfica na timu ya taifa ya Ureno.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake alipewa ji a la utani " The Maestro " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutandaza soka maridhawa.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Ac Milan mwaka 2003.
Nilimshuhudia uzeeni
 
1972 - Rui Costa anazaliwa.

Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Fiorentina, Ac Milan, Benfica na timu ya taifa ya Ureno.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake alipewa ji a la utani " The Maestro " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutandaza soka maridhawa.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Ac Milan mwaka 2003.
7f70ed8316a15f9dce7286d8d1f5c546.jpg
95198579caa701ae7b16f8b2b239b26d.jpg
8dd665a267907f171417af507bb01b8f.jpg
2d374b8e63ed4f7fd5066e8c24d7b358.jpg
 
1973 - Marc Overmas anazaliwa.

Winga wa zamani wa Ajax, Arsenal, Barcelona na Timu ya Taifa ya Uholanzi.

Maarufu kama " The Flying Dutchman " alitwaa ubingwa wa Uefa Champions League akiwa na Ajax mwaka 1995 chini ya Louis Van Gaal.
7f6cafb359b8f0762cb7b32e54ad7c0f.jpg
94dfc9bd254d943d0d7019ab989b592c.jpg
34746a1b3745541c30726dc2a7001bc5.jpg
bc10d0c802925a918ffac3d5a57d605e.jpg
74b9b0b62f255ea984ab3b4c602fc64b.jpg

Jamaa ni fundi
Ajax ya LVG ilikuwa moto
Huyo kipa sio Van Der Sar?
......
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom