Makapuku Forum

Makapuku Forum

Guys mko poa nyote?
Ashukuriwe Mungu kama mko poa.
Kwa sababu zilozo nje ya uwezo wangu
Leo sitaingia humu labda hadi jioni.

Ukhuty sweetie wangu jitunzee eeeh!!
Humu haupo salama kuna watu wanakutolea macho. Nadhani wanajifahamu.
Wasikulaghai.
Kaa ukijua Mond anakupenda sana.
Usimuumize please.
Mida tutaonana.
 
Leo katika Historia:

1951 - Ethel Rosenberg na Julius Rosenberg wanakamatwa kwa kosa la kufanya Ujasusi na kuvujisha taarifa za Marekani kwa Warusi.

Wanakuja kunyongwa mwaka 1953 baada ya kutiwa hatiani.
23c17a04ab6ad43a27a4e23321c5008e.jpg
39a0bf552f408cc4d8cbc5be538745eb.jpg
1ab0c2b40639f1f06f1182671bc61349.jpg
d742f877667f88dbf4d39fbafe18efc9.jpg
ushushushu sio kazi ya kibashite
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom