Makapuku Forum

Makapuku Forum

1962 - Rais Arturo Frondizi wa Argentina anapinduliwa katika mapinduzi ya kijeshi yaliyofanywa na Jeshi la nchi hiyo na kuhitimisha mgogoro wa katiba uliodumu kwa siku 11.
5b4952cf99e5c8dceaaf35d88e0b724d.jpg
29cea6e0b72e26d1b5a4d4feee385928.jpg
aca27c482e9243d073e4326559992527.jpg
 
1972 - Rui Costa anazaliwa.

Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Fiorentina, Ac Milan, Benfica na timu ya taifa ya Ureno.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake alipewa ji a la utani " The Maestro " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutandaza soka maridhawa.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Ac Milan mwaka 2003.
 
Guys mko poa nyote?
Ashukuriwe Mungu kama mko poa.
Kwa sababu zilozo nje ya uwezo wangu
Leo sitaingia humu labda hadi jioni.

Ukhuty sweetie wangu jitunzee eeeh!!
Humu haupo salama kuna watu wanakutolea macho. Nadhani wanajifahamu.
Wasikulaghai.
Kaa ukijua Mond anakupenda sana.
Usimuumize please.
Mida tutaonana.
Ubarikiwe
 
Guys mko poa nyote?
Ashukuriwe Mungu kama mko poa.
Kwa sababu zilozo nje ya uwezo wangu
Leo sitaingia humu labda hadi jioni.

Ukhuty sweetie wangu jitunzee eeeh!!
Humu haupo salama kuna watu wanakutolea macho. Nadhani wanajifahamu.
Wasikulaghai.
Kaa ukijua Mond anakupenda sana.
Usimuumize please.
Mida tutaonana.
Jiamini bhana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom