Makapuku Forum

Nilimshuhudia uzeeni
 
 
1973 - Marc Overmas anazaliwa.

Winga wa zamani wa Ajax, Arsenal, Barcelona na Timu ya Taifa ya Uholanzi.

Maarufu kama " The Flying Dutchman " alitwaa ubingwa wa Uefa Champions League akiwa na Ajax mwaka 1995 chini ya Louis Van Gaal.

Jamaa ni fundi
Ajax ya LVG ilikuwa moto
Huyo kipa sio Van Der Sar?
......
....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…