Makapuku Forum

1972 - Rui Costa anazaliwa.

Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Fiorentina, Ac Milan, Benfica na timu ya taifa ya Ureno.

Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake alipewa ji a la utani " The Maestro " kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutandaza soka maridhawa.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Ac Milan mwaka 2003.
 
Ubarikiwe
 
Jiamini bhana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…