Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ikifika saa 8 za usiku hivi huwa mnakuwa off-line jf
Mkishakuwa off-line mnapigiana simu..!
Dak 1-3 ni salamu na stori za mchana ulikuwa vipi..
Dak 4-5 jf palikuwa vipi mchana
Dak 5 - Lee anaaza kuongea sauti ya base na ya kubana..
Dak 6- Shunie anaaza kuongea kwa sauti ya kibondei ( mtoto wa kitanga huyo ujue lakini)
Dak 7-8 ; mnaanza kunong'onezana kwa sauti za kubana...
Dak 9-10 ; dirty talk inaaanza hapa..
Dak 11 - 2 Hr - mko kwenye ndoto
Sasa kwanini mashuka yasifuliwe asubuhi..
![]()
Mbavu zinauma sana
