Mpenzi wangu nikupendaye sana kwanza pole na majukumu yako ya siku ya leo wakt unajipumzisha nikupe mstari huu kutoka kwa 2Timotheo 2:22 nayo unasema.."Lakini zikimbie tamaa za ujanani ukafuate haki na imani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi."