Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
1986 - Manuel Neuer anazaliwa.
Golikipa wa Bayern Munich na kepteni wa timu ya taifa ya Ujerumani.
Anatajwa kama mmoja wa magolikipa bora Duniani kwasasa.
Ameshinda kombe la dunia mwaka 2014 akiwa na Ujerumani.
Pia taji la Uefa champions League 2013.
Golikipa wa Bayern Munich na kepteni wa timu ya taifa ya Ujerumani.
Anatajwa kama mmoja wa magolikipa bora Duniani kwasasa.
Ameshinda kombe la dunia mwaka 2014 akiwa na Ujerumani.
Pia taji la Uefa champions League 2013.
