Makapuku Forum

Makapuku Forum

1921 - Moacir Barbosa Nascimento anazaliwa.

Golikipa wa zamani wa Vasco Da Gama na timu ya taifa ya Brazil.

Analaumiwa kwa kufanya makosa yaliyopelekea Brazil kupoteza mchezo wa Fainali ya Kombe la Dunia la mwaka 1950 katika ardhi ya nyumbani kwa kufungwa 2-1 dhidi ya Uruguay katika uwanja wa Maracana.

Goli la pili liligungwa na Uruguay liliyokana na kipa huyu kuzembea kukaa katika eneo sahihi hivyo kuruhusu kupoteza ubingwa huo licha ya Brazil kupewa nafasi kubwa ya kutwaa taji hilo.

Mashabiki wa soka wa Brazil hawakuwahi kumsameje Barbosa na daima walimtenga katika shuguli za kijamii kitu kilichomtesa sana kisaikolojia.
3f3a60605b7753b89171b5591dd7d976.jpg
317dc38c6b9da8e1080f4e16f2d7a20f.jpg
96de1586273571049aef0fddbc2974b0.jpg
6385eeb2fdcb327e1e51f56056e7874f.jpg

Angekuwa Colombia wangemuEscobar
....
 
1974 - Gaizka Mandieta anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Valencia, Lazio, Barcelona, Middlesbrough na timu ya taifa ya Spain.

Alikuwepo kwenye kikosi cha Valencia kilichoingia fainali mbili mfululizo za Uefa Champions League na kupoteza fainali zote.

Fainali ya kwanza walipoteza dhidi ya Real Madrid mwaka 2000 na Fainali ya pili mwaka 2001 dhidi ya Bayern Munich.
6a1fada616c659b1064af2c1e58da9a7.jpg
00a657654f87c19c05d87d1eb76ad4a4.jpg
0075c60c08f4480040da905af0a1fc46.jpg
a81b9dfd729d8d99f9f0f070d878e14d.jpg
ana nuksi km Griezman wa Atletico
....
 
1986 - Manuel Neuer anazaliwa.

Golikipa wa Bayern Munich na kepteni wa timu ya taifa ya Ujerumani.

Anatajwa kama mmoja wa magolikipa bora Duniani kwasasa.

Ameshinda kombe la dunia mwaka 2014 akiwa na Ujerumani.

Pia taji la Uefa champions League 2013.
eb0ead10404370a27399256b550d1709.jpg
48cb56d077aa174002e5a711a06807a1.jpg
227995270931783c33748e858d50dcd1.jpg
71cb3819740ce810122cd1078a22cb17.jpg
Mataji yanambeba....kwangu De Gea ndo namkubali
Juzikati tu kafungwa goli nahisi na Walcott
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom