Makapuku Forum

Mfano mimi sizungumzi sana humu kuhusu mapenzi lakini haiwezi kuwa sababu ya kuwazingua wanaozungumza sana kuhusu mapenzi bali huwa nakaa tu pembeni km sijapna swaga iliyonivutia

Anyway yameisha
.......
Ni kweli na bado tunajali michango yako...nadhani labda anafeel inferior kwakua kashindwa kuendana na mazingira!! Nadhani atakua ameelewa
 
 
halaf mapenzi ndio yana run dunia ajue
 
1979 - Anwar Sadat wa Misri, Menachem Begin wa Israel na Richard Nixon wa Marekani wanasaini mkataba wa amani kati ya Misri na Israel huko Camp David ( Sehemu ya Mapumziko ya Rais wa Marekani ).

Mkataba huo utakuja kugharimu maisha Anwar Sadat kwani alikuja kuuwawa kwa kushirikiana kwake na Israel.
 
1982 - Vietnam Veterans Memorial yafanyika huko Jijini Washington kuwakumbuka wanajeshi wa Marekani waliopoteza maisha katika vita ya Vietnam.

Pia waliwakumbuka wale ambao walipotea katika Uwanja wa Kivita, aidha kwa kushikiliwa mateka au kufariki pasipo kujulikana. ( Missing In Action )
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…