Makapuku Forum

Wapi imetumika vibaya mkuuu
Utakuta mitandao ya kijamii mingi tu. Kama Facebook, Twitter, insta, na watu kutwa ni kutukanana tu kuchambana kukushifu viongozi wa kitaifa na mambo mengine ya hovyo kabisa. Ila kidogo humu jamii forum kuko powaa kiasi fujo siyo nyingi kama kule insta.
 
una umri gani mkuu samahani lkn kwa hili swali
 
Na kuhusu upendo baina ya wake??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…