johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Chukua uhusika mkuuNani anakuwa Hamorappa kwenye hilo tukio.?![]()
Chukua uhusika mkuuNani anakuwa Hamorappa kwenye hilo tukio.?![]()
Yaaaaaah tuko poaaWazima humu jamani![]()
![]()
Nimekuuliza bhanaa..?Love you more roho ya Sakayo
Halafu wajua naumwa, toka asubuhi hata kunijulia hali kweli
AsanteNimekuuliza bhanaa..?
Chats za asubuhi..?
Poleeeee wanguu
Pole bhna naskia shunie anaumwa pole sanaYaaaaaah tuko poaa
Hivi pado anapiga kambi mmu?Hahaaa wacha tu huyu jamaa ni PIMBI + KIPEPE mishe zao hazifanikiwi
Kwema kabisa yaan mkuu nawaona nawaonaWazima mkuu?
Kwema?
Afu jiandae mama..Asante
Unajua kama leo nimekula mume wangu jamani
Mwambie habari za jioni shemeji!
Ahaaaaaah kwendaa zakooAaarg!
Mpe lee...ana suit kabisa..
Yes...Kwema kabisa yaan mkuu nawaona nawaona![]()
![]()
Mnachat tu humu
AhaaaaaaaHapana yy atakuwa kitenge,![]()
Mie nshapona na leo nilikua huko porini kaziniLee keshanijibu baby..!
Mtapona tuu mama!
Nafyatilia kwa umakiniYes...
Niko na mama yako..
Wewe fuatilia tuu.. ! Ujifunze