Makapuku Forum

2016 - Johan Cruyff anafariki dunia.

Staa wa zamani wa Barcelona, Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi.

Ndie mwasisi wa akademi ya La Masia pale Barcelona.

Mmoja wa wagunduzi wa Total Football.

Alikuwepo katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Uholanzi kilichofungwa fainali ya Kombe la Dunia 2-1 na mwenyeji Ujerumani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…