Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,095
unakumbuka juz wakat tupo maeneo yetu kule chimbo nilikuambia kwamba nachangia kile kinachonivutia na hiyo ndiyo rule yanguHebu kwanza jibu hili.
Ilikuaje nikakupokea 2016 wakat umejiunga 2013
True Kansime!
Like Teacher like Student!Dada Queen Kan kuna kijana hapa anaitwa Snipes. Ni mgeni humu mpole na mtaratibu kiufupi hana makuu, tunakuomba umpokee uwe nae ili aweze kujiona naye ni mtu kati ya watu na kupapenda zaid humu nyumbani. Nadhan atajieleza mwenyewe vzr
Aahaaa mzee wa leo ktk historiaunakumbuka juz wakat tupo maeneo yetu kule chimbo nilikuambia kwamba nachangia kile kinachonivutia na hiyo ndiyo rule yangu
humu naingiaga mara kwa mara si kila siku, mara nyingi dunia ilipitia wapi katika mambo ya historia kuna mtu humu anaitwa Mussolin kama sijakosea namfatilia sana huyo mutu
Urithi upi huo jooLike Teacher like Student!
Hata nikiondoka jf nimeshaacha urithi...
Mmeanza makampeni yenuDada Queen Kan kuna kijana hapa anaitwa Snipes. Ni mgeni humu mpole na mtaratibu kiufupi hana makuu, tunakuomba umpokee uwe nae ili aweze kujiona naye ni mtu kati ya watu na kupapenda zaid humu nyumbani. Nadhan atajieleza mwenyewe vzr



na lilipiwe hili tangazo
Umewaharibu wenzioLike Teacher like Student!
Hata nikiondoka jf nimeshaacha urithi...
Salute mkuuLike Teacher like Student!
Hata nikiondoka jf nimeshaacha urithi...
Mbona nawe waziba mdomo?Nini![]()
Tengua kauli QKUmewaharibu wenzio
UbarikiweFamilia naombeni niwaage kidogo!! Ntapotea siku mbili tatu! Ntawamiss sana.
Usiku mwema.
Usiseme hivyo bibie huyo ni mgeni anafaa kukirimiwa na apate mtu wa kua nae think twice pleaseMmeanza makampeni yenuna lilipiwe hili tangazo
We Love your family more,good night stay Blessed.Familia ya Bw. & Bi. TRANSCEND wanayo furaha ya kuwaaga na kuwatakia usiku mwema..
Muwe na njozi njema wote..
We love you all makapuku..!![]()
mbona tayari tushalipia au unataka risiti??Mmeanza makampeni yenuna lilipiwe hili tangazo
Mama mchungaji unapatikana kanisa lipi nije nipate huduma toka kwakoWe Love your family more,good night stay Blessed.
Acha uongoo kaniaga pmSababu hajaagwa