Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Wakuu na mm nikimpata huyu mgeni sio mbaya nahitaji kapuku mwenza

Wakuu na mm nikimpata huyu mgeni sio mbaya nahitaji kapuku mwenza

Poleni![]()
Bomoabomoa hulu kwetu Mabibo relini![]()
Treni ya umeme na huku itapita?
.....
Jamaa kapigiwa miluzi mingi ikamchanganya!!!Nakuona unakimbia werasson..
![]()
lee empire na Mondray wananichekesha kwa harakati zao Ili Nyagei apate totozMkuu mbona una unacheka hivyoo?
Vina sijui mizani na nini halafu uimbaji wake siupendi!!!Pasi na shaka na wewe una imani mashairi ni magumu.
Tunamuonea huruma
ulidhani ni kitu gani?
thijui
Mambo ya fursa![]()
Mzigo mpya umewasili
Bei maelewano
Sikoprshi
....


BTW: You are missed 
Hahahathijui
Mimi siielewi mpaka sasa
Hahahaha, Nyagei wanamtetea kuwa hawezi tafuna nyama zenye mifupa japokuwa ndizo anapenda. Ko wanamsaidia
Ni ufagio wa chelewa umeegemezwa ukutani!!!Mimi siielewi mpaka sasa
Sijui ni ukuta/fenci??
Sijui nikikapu/kipochi??
Msaada tafadhali
Don't mess with this lady
Kamatia fursa twenzetu![]()
Mzigo mpya umewasili
Bei maelewano
Sikoprshi
....
Ongeza hekima zako mukongo