Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Mambow mlembowKumbe kaka mpambe. Sina muda mrefu nimekuja kusalimia tu nitaondoka punde

Mambow mlembowKumbe kaka mpambe. Sina muda mrefu nimekuja kusalimia tu nitaondoka punde

Hapana mkuu...Kaka mtu hujajiunga instamoney nikatuma ya vocha ili uamini niko silias
Umeenda wapi sasa!Kabisa yaani


Hapana mkuu...
Ninyi pambaneni huko ! Sitaki kuuza moyo wa dada yangu kama Yuda na Yesu
Maliza kabisa kisheti

Unafanyiwa hustling ili naww utusue ujue

Hahahaaa! Afu ndio njia ya nyumbani ujue unanishusha pale simba track uelekeo nyumbani Olasiti

Zamu yako itafika usiwe fisi mkuu livi livinusN
Nawezaaaa ndioo mkuu
Niachie naona wenyeji wanakupigia chapuo
Mkuu mbona una unacheka hivyoo?
BwahahahahaaaaaBob una kadictionary pembeni ??mbwebwe zingine hazifai
Gonga kimaguuu kimombo achana nacho

Pasi na shaka na wewe una imani mashairi ni magumu.Nachukia mashairi kinoma