Nimeitwa sana kunani mkuuNjoo huku chap nyagei...
Tz ya matamko
Happybirthday Dinho.....mcheza mpira ninaempenda kuliko wote!!!1980 - Ronaldinho Gaucho anazaliwa.
Jina lake halisi ni Ronaldo De Assis Moreira.
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa PSG, Ac Milan, Barcelona na timu ya taifa ya Brazil.
Anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka.
Ameshinda kila kitu katika soka, Kuanzia Copa America mwaka 1999, Kombe la Dunia mwaka 2002, Uefa Champions League mwaka 2006, ubingwa wa La Liga mara mbili.
Pia ameshinda Ballon D'or mara mbili.
Alisifika kwa chenga zake za madaha, uwezo wa kukokota mpra na hata magoli adimu.
Mpinzani wake mkuu wakati anacheza alikuwa Zinedine Zidane wa Ufaransa, mpaka leo hakuna jibu sahihi kati ya Zidane na Ronaldinho nani alikuwa zaidi?
Nitafunie mfupa mmoja chap..Kweli kabisa
Usifanye hivoKumbe kaka mpambe. Sina muda mrefu nimekuja kusalimia tu nitaondoka punde
Tarehe ya footballer wenye viwango vya ukweli1991 - Antoine Griezmann anazaliwa.
Staa wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa.
Moja kati ya wachezaji wenye vipaji vikubwa wanaotamba katika La Liga.
Mawaziri wana kazi sana...!
Hapana sijauona mkuuMkuu ugeni umeuonaa??
Natafuta kipozeo kwanza,,Acha uongo kwanza lindo leo huendi
Mkuu hivi tume ya Leo imeleta update zipiMawaziri wana kazi sana...!
Wanatoa tamko Mkulu anakuja analikataa...afu anakuwa na political gain..
Mwambie..Mimi hanielewi ClkeyMmmmmmmh apo mawazo hayaishi
Acha ukisheti kwahiyo hujaona debe unalopigiwa na THapana sijauona mkuu
Nachukia mashairi kinoma- World Poetry day.
Siku ya kimataifa ya Ushairi Duniani.
Katika siku hii, Watu wanahimizwa kusoma Mashairi mbalimbali kwani imejengeka dhana kwamba mashairi ni magumu sana.
Baadhi ya Washairi wetu toka Tanzania ni Kaluta Amri Abeid, Shaaban Robert, Euphrase Kezilahabi.
LEO KATIKA HISTORIA:
Sina la ziada niwatakie siku njema.
