Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa Makapuku naamini Mungu amewaamsha salama sifa, utukufu ,heshima na shukurani ni kwake aliye juu,haijalishi unapitia changamoto gani namwomba Mungu aingilie kati ,wanaogua na kuuguza Mungu awaponye ,wanaotafuta kazi na riziki Mungu awasaidie mpate kazi na riziki maisha yawe ya amani na upendo ...nawatakia siku njema yenye baraka na amani ...Amen
Amen
 
Kumbe watu mmeshafika kule kuchungulia
Nyagei..,

Nataka nikutambulishe kwa le super dada..! Dada yangu wa nguvu EMMYTA..

She is very calmed! ana heshima ya kutosha na kubaki...

Akija huki uwe unampokea na hata katika pita pita zako kule MMU usiruhusu mtu amsumbue...

Naaamini utaenjoy kumfahamu...

Endelea sasa kumuonesha mazingira ya nyumbani kwenu huku MAKAPUKU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom