Makapuku Forum


mmmmh, sijui kama nitaiona, kuna panyabuku humu anapenda kutafuna hela utadhani TRA/BOT. Labda kwa kusaidia utafutaji hebu ongeza buku kumi nikanunue dawa ya panya tumuue, irushe mapema kwa mpesa, weka na ya kutolea
 
mmmmh, sijui kama nitaiona, kuna panyabuku humu anapenda kutafuna hela utadhani TRA/BOT. Labda kwa kusaidia utafutaji hebu ongeza buku kumi nikanunue dawa ya panya tumuue, irushe mapema kwa mpesa, weka na ya kutolea
Itapatikana kweliii???

Mim natumaaa ile inayoaanzaa na 07
 
Utawala wa kisheria. . . very funny!! kila kitu hadi kithibitishwe mahakamani. . .
May be it could be a good way . . . kama mtu. . . ni kweli sugu inaweza ikawa njia ya kum discipline,
Kuliko wale wanao jipa mamlaka ya kuua wenzao.!!! I hate that. . .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…