Makapuku Forum

Makapuku Forum

leo katika je wajua; on behalf of Ray van Boy ;


Je wajua kuwa mwezi february mwaka 1865 ndio pekee ambao hakuwa na mwezi mzima (full moon)
 

Attachments

  • amazing-simple-facts-32-728.jpg
    amazing-simple-facts-32-728.jpg
    27 KB · Views: 24
Je wajua?
Je wajua bara la Antarctica ndio bara pekee lisilokuwa na nyoka wala reptilian.

hii inasababishwa na hali ya hewa iliyoko katika bara hilo.
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    7.9 KB · Views: 25
  • images (1).jpg
    images (1).jpg
    8.2 KB · Views: 24
  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    7.2 KB · Views: 23
  • images.jpg
    images.jpg
    11.1 KB · Views: 25
Morning Tena wakuuu!


I love this forum!

Lee njoo kaka! This was a morning warm up

Shunie;

Usilie tena dada, nilitaka nijue kama unampenda leee [emoji23][emoji23][emoji23]


Afu forum imechangamka kidogo...!


Relax sasa! Afu mimi sijabadili avatar yangu...


Lee empire and shunie love you all...

Asante kwa morning warm up!
[emoji817]
 
Back
Top Bottom