Makapuku Forum

Jana ulipomkaribisha lileee jamaaaa kipi kiliendelea make usku nilichoka sana ata sikuuliza ...
Wewe jamaaa wewe
nilimalizana nae mda ule ule tu alijitambulisha jina lake akaniuliza na ww nikamwambia haya sio yaliyotuleta uku kwaheri nafunga bas lkn tulikua tumeshamalizana
Khaaaa sasa kuna maana gani ya kwenda privacy.
Mmmmmmh ila ulimfungulia mlango ..na mbona nilikukuta umechoka ??
Wivu kidonda ukiendekza utakonda na bashite
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…