Makapuku Forum

Umemjibu vyema sana mkuunilitaka nimchambulie jukwaa zima aona ni kiasi gani sub forum ni ngapi zenye tija humu?
Ukienda jukwaa la elimu hakuna wachangiaji, ukienda biashara na ujasiria mali, hakuna wachangiaji pia, kwa magreat thinker ndo kabisaa..zaidi ya kuongelea mapenzi tena ujinga ujinga tuu lakini huwezi kupuuza kwani ndiko mioyo ya watu iliko, chagua ukipendacho na acha usichokipenda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…