Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Imegoma
Acheni hayo maneno, mwenyewe kimyaaaaaaaaaaa wapambe sasaYaaan hapoo ndo watu tunapoaanzaa kuchezeanaa coz huwezii kunichomeshaa mahindiii kwa stail hy9

Wao likes mbona ni kwa mjuanoHawa watu wanakera sana,yaani utafikiri amelazimishwa kupita huku.
Vale naomba mwaya tuwe kapoHakika huyu ndie...
Nenda ukawambie wengine uliyoyaona kwamba
Likes zimeongezeka,Uzi unapepea na makapuku wameonekana kwa wingi

Umemjibu vyema sana mkuunilitaka nimchambulie jukwaa zima aona ni kiasi gani sub forum ni ngapi zenye tija humu?Naomba kwa heshima kabisa nikueleweshe jambo moja kila kitu kina target audience
Cartoon kwa watoto ni kitu kikubwa huwezi kumdharau na kumdhihaki mtoto kwa kuangalia cartoon
Pombe ni kitu kibaya lakini kuna watu huwaambii kitu
Mpira una ushabiki wa kushangaza lakini kuna wengine hawajui chochote kuhusu mpira
Katika maisha hatuwezi kufanana kwa kila kitu
Ukiona mtu anafanya kitu kikampa furaha kwake na kwa wengine na hakina madhara kwa yeyote mwache afanye usimdhihaki wala kumdharau. ...ni njia yake ya kuburudika
Mkuu mwerevu angepita kimyaaMtu mwelevu huzifikiria nyayo zake.
Je, welevu wako uko wapi?
Ye mwenyewe ana likes chache kama maksi za mitihani sisi atatupa nini? Huenda alikuja akidhani atapata likes kadhaa ila naona kaambulia patupuUtafikiri tumeomba likes zake
Kwani kigezo ni kuandika polifix ndo mtu apewe likes![]()
He is a mbumbumbu
...................
Umezidiii masharitiiiiAcheni hayo maneno, mwenyewe kimyaaaaaaaaaaa wapambe sasa![]()
![]()

Wameona tumewafunika kwa kila kitu ndo wameanza kutoka mapangoni kule Amboni wamekuja kuomba viporo wkt tulishavila
![]()
![]()
![]()
![]()
.................

Wewe ni shahidi, vp sizzy007 ameweza au hana seraLakini mnayamudu![]()
![]()
![]()
Kifupi ye hataki kuwa na mtu wa maji mara mojaBb graph ikikutanaa na mtermko huwaa na tabiaa ya........ilaa n kwel kama unampendaa hutamwumizaaa
Duuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unaniharibiaaaaa
sirudddiii nakutakiaa udakaji mwemaa mkuuSana tu....... Uzi umekuwa na replies kuliko kawaidaHakika huyu ndie...
Nenda ukawambie wengine uliyoyaona kwamba
Likes zimeongezeka,Uzi unapepea na makapuku wameonekana kwa wingi
Hakika huyu ndie...
Nenda ukawambie wengine uliyoyaona kwamba
Likes zimeongezeka,Uzi unapepea na makapuku wameonekana kwa wingi

Kijana hongeraHiyo hapo mtumishi
Ilaa umeangaliaa afyaa yakeee maana amepunguaa coz huo mchakaa mchaka unaompaa sio wa kitotoKifupi ye hataki kuwa na mtu wa maji mara moja
Asante sana mtumishiKijana hongera