shaban lee
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 311
- 926
Yaaan hapoo ndo watu tunapoaanzaa kuchezeanaa coz huwezii kunichomeshaa mahindiii kwa stail hy9Hahahaha hapo patamu sana aisee. Maana unatumia mda mwingi sana
Yaaan hapoo ndo watu tunapoaanzaa kuchezeanaa coz huwezii kunichomeshaa mahindiii kwa stail hy9Hahahaha hapo patamu sana aisee. Maana unatumia mda mwingi sana
Ngoja nicheki na mod 2sijakusoma,nilichangia kule kwa kifo cha Liyumba,umeni-quote huku

Naomba kwa heshima kabisa nikueleweshe jambo moja kila kitu kina target audienceMakapuku bhana. Unakuta mtu eti ana post zaidi ya 7000 na like kibao kwa this nonsense post? Naapa mbuzi aning'ate kqangu hupati like kama unaandika upuuzi huu wa kifesibuku.......
Mtu mwelevu huzifikiria nyayo zake.Makapuku bhana. Unakuta mtu eti ana post zaidi ya 7000 na like kibao kwa this nonsense post? Naapa mbuzi aning'ate kqangu hupati like kama unaandika upuuzi huu wa kifesibuku.......
UNA WIVU WA KIKEMakapuku bhana. Unakuta mtu eti ana post zaidi ya 7000 na like kibao kwa this nonsense post? Naapa mbuzi aning'ate kqangu hupati like kama unaandika upuuzi huu wa kifesibuku.......
Sana aisee. Wanaume tumeumbwa mateso kuhangahikaHa ha ha ha uanaume mgumu sana![]()
![]()
Umeandika namba, orodhesha mkuuImeshapita kitaambo.
Kama kweli unampenda hutamuumizaYaaan hapoo ndo watu tunapoaanzaa kuchezeanaa coz huwezii kunichomeshaa mahindiii kwa stail hy9
Utafikiri tumeomba likes zakeHaya ndiyo madhara ya kutokunyonya maziwa ya mama.
Asante sana mkuu mshana jrNaomba kwa heshima kabisa nikueleweshe jambo moja kila kitu kina target audience
Cartoon kwa watoto ni kitu kikubwa huwezi kumdharau na kumdhihaki mtoto kwa kuangalia cartoon
Pombe ni kitu kibaya lakini kuna watu huwaambii kitu
Mpira una ushabiki wa kushangaza lakini kuna wengine hawajui chochote kuhusu mpira
Katika maisha hatuwezi kufanana kwa kila kitu
Ukiona mtu anafanya kitu kikampa furaha kwake na kwa wengine na hakina madhara kwa yeyote mwache afanye usimdhihaki wala kumdharau. ...ni njia yake ya kuburudika
Tunayamudu sanaLakini mnayamudu![]()
![]()
![]()
Hawa watu wanakera sana,yaani utafikiri amelazimishwa kupita huku.Utafikiri tumeomba likes zake
Kwani kigezo ni kuandika polifix ndo mtu apewe kes![]()
He is a mbumbumbu
...................
Mkuu subiri niitafute niitupie hapaUmeandika namba, orodhesha mkuu
Bb graph ikikutanaa na mtermko huwaa na tabiaa ya........ilaa n kwel kama unampendaa hutamwumizaaaKama kweli unampenda hutamuumiza
Hiyo hapo mtumishiMakapuku couples
Th Name and lizziebettie![]()
youngblood and Nahrene![]()
peterchoka and Linamo![]()
jambilo (mtumishi) and Patience123![]()
EMMYGUY and aggyjay![]()
manuu and amaizing![]()
Wanaelekea kuwa couple
sizzya007 and Jimena![]()
![]()
![]()
Broken couple
sumbai and cute b![]()
NB.
Kwa wale wenyewe matatizo kama watayarekebisha mambo yao nitabadilisha list. Kama kuna couple nimeisahau ni pm tasavali
Umeandika namba, orodhesha mkuu
Upendo wa kweli tuBb graph ikikutanaa na mtermko huwaa na tabiaa ya........ilaa n kwel kama unampendaa hutamwumizaaa
Hakika huyu ndie...Una maono sana kapuku weye...... Hivi ni wewe yule ajaye au tumtazamie mwingine???
Naomba kwa heshima kabisa nikueleweshe jambo moja kila kitu kina target audience
Cartoon kwa watoto ni kitu kikubwa huwezi kumdharau na kumdhihaki mtoto kwa kuangalia cartoon
Pombe ni kitu kibaya lakini kuna watu huwaambii kitu
Mpira una ushabiki wa kushangaza lakini kuna wengine hawajui chochote kuhusu mpira
Katika maisha hatuwezi kufanana kwa kila kitu
Ukiona mtu anafanya kitu kikampa furaha kwake na kwa wengine na hakina madhara kwa yeyote mwache afanye usimdhihaki wala kumdharau. ...ni njia yake ya kuburudika
