Makapuku Forum

1892 - Klabu ya Liverpool yaanzishwa.

Ni klabu ya pili kwa mafanikio katika Nchi ya Uingereza nyuma ya Man Utd.

Wapinzani wao wakuu ni Everton Fc ambao wanapatikana katika kitongoji cha Merseyside.

Mara yao ya mwisho kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu England ilikuwa mwaka 1990.

Baadhi ya magwiji waliochezea timu hiyo ni Kenny Dalglish, Roy Evans, MacManaman, Robbie Fowler, Steven Gerrard, Luis Suarez, Xabi Alonso, Jamie Carragher nk
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…