Makapuku Forum

Ngoja twende kabisa pale ambapo mafarisayo walimjaribu yesu wakimuuliza:

Mathayo 22: 36


mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

Yesu akawajibu hivi,
Mathayo 22: 37-38


akamwambia, mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote,
Hii ndio amri iliyo kuu tena ni ya kwanza



Akaendelea mstari wa 39:

Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii mpende jirani yako kama nafsi yako


********Mwisho*********

Upendo ndio amri kuu! Show love to everyone around you
 
 
Hakika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…