Makapuku Forum

Bonge la song [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
1979 - Nicolas Anelka anazaliwa.

Straika wa zamani wa Arsenal, Real Madrid, Bolton, Man City, Chelsea, Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa.

Alikosa penati katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2008 hivyo kuipa Man Utd ubingwa.

Amezurura timu nyingi sana barani ulaya hana tofauti na Zlatan Ibrahimovic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…