Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
JE WAJUA??
TELEPHONOBIA ni hofu ya kupiga au kupokea simu
JE WAJUA??
TELEPHONOBIA ni hofu ya kupiga au kupokea simu
Ahaaaaaaaah wengine wanajifanya Shakira mkuu ....Bado nausoma mchezo hapa🙂🙂🙂
Am not sure kama hiyo picha ya juu ni yy
JE WAJUA??
Idadi ya ongezeko la watu nchini china ni watu 23, 000 kwa siku
hahahhh unajua mambo ya 3some au sakayo ntakuchapa ujue
unajua mpaka hiyo 
nisiijue na mapicha yapo mukongo tunaonaunajua mpaka hiyo
![]()
Kwani nlishapewa tenaaUnataka nyingine ?,
Sikujua!JE WAJUA??
Kampuni ya Volkswagen inamiliki Audi, Porsche, Lamborghini, Duccat, Bentley na Bugatti
NajuaJE WAJUA??
Papa Francis amewahi kufanya kazi kama baunsa wa Bar
Whaat!!!JE WAJUA??
Idadi ya ongezeko la watu nchini china ni watu 23, 000 kwa siku
Wataita Uchochezi