Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imekuumaa baby ...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] imekuumaa baby ...
sanaaa kuna wanaume ni katili sana mtu anakupenda kwa moyo wake wote hakupendei umaarufu wako wala vipesa vyako halaf unakuja kumpa adhabu kubwa kama hiyo huyu dada nampenda sana katulia akiwa na mtu ni huyo huyo vituko anavyofanyiwa na kiba vyote anavumilia leo wa kufanyiwa adhabu hii namuombea Mungu ampe mwanaume aliye sahihi kwake ipo siku tu atafanikiwa.
 
Ngojaa mushenga aje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…