Shemela habar za asubuhi, nilikumiss sanaAlly kiba sio wa kumfanyia jokate hivyo daah hao ndio wanaume bwana unasota nae miaka mingi unamvumilia kwa kila kitu anakuja kuolewa mwingine hawajakaa ata mda mrefu Mungu atakusaidi jokate utapata mtu aliye sahihi kwako hunaga bahati na mahusiano maskini.
Ally kiba sio wa kumfanyia jokate hivyo daah hao ndio wanaume bwana unasota nae miaka mingi unamvumilia kwa kila kitu anakuja kuolewa mwingine hawajakaa ata mda mrefu Mungu atakusaidi jokate utapata mtu aliye sahihi kwako hunaga bahati na mahusiano maskini.
Hahaaa ww jamaa, Quigley hana chake. Any way sipend kumzungumzia mtu kwenye ishu kama hzi
Asante sanaTuwe na mapumziko mema ya wiki
sanaaa kuna wanaume ni katili sana mtu anakupenda kwa moyo wake wote hakupendei umaarufu wako wala vipesa vyako halaf unakuja kumpa adhabu kubwa kama hiyo huyu dada nampenda sana katulia akiwa na mtu ni huyo huyo vituko anavyofanyiwa na kiba vyote anavumilia leo wa kufanyiwa adhabu hii namuombea Mungu ampe mwanaume aliye sahihi kwake ipo siku tu atafanikiwa.imekuumaa baby ...
nzuri shemela me pia nilikumiss sana hope upo poaShemela habar za asubuhi, nilikumiss sana
Yaap nipo mzima Shem wangunzuri shemela me pia nilikumiss sana hope upo poa
Kwanini?Hahahaha iyo kwel team makapuku
Ngojaa mushenga ajesanaaa kuna wanaume ni katili sana mtu anakupenda kwa moyo wake wote hakupendei umaarufu wako wala vipesa vyako halaf unakuja kumpa adhabu kubwa kama hiyo huyu dada nampenda sana katulia akiwa na mtu ni huyo huyo vituko anavyofanyiwa na kiba vyote anavumilia leo wa kufanyiwa adhabu hii namuombea Mungu ampe mwanaume aliye sahihi kwake ipo siku tu atafanikiwa.
mushenga anahusika vipi na mambo ya kiba na jokateNgojaa mushenga aje
Karibu sanaHahahaha iyo kwel team makapuku
Pamojaa mkuuShukrani kwa magazeti mkuu lee empire
Anaweza sema chochote ...mushenga anahusika vipi na mambo ya kiba na jokate