Makapuku Forum

```
JE UNAJUA????
Siku ya mwanamke duniani originally ilipangwa isherekewe tar 25 February .....
Ila kutokana na kujianda kwingi, kujipodoa na kujiangalia saana wakajikuta wanachelewa hadi wakasherekea tar 8 March......

JE WAJUA?

Hata siku ya mwanaume duniani ilipangwa......
Ila kama kawaida yetu wazee wa kupotezea vitu vya kijinga tumeshasahau ni tar Ngapi.....


 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…