Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Hapana, SAA moja naweka list ya couplesKumbe kuna maswali?
Hapana, SAA moja naweka list ya couplesKumbe kuna maswali?
Kwanza nisamehe shem kwa kukusumbua huko ulipopataja tunapaita chumban sasa kama Kaka na Shem wapo chumbani wamejifungia huwa hawapaswi kusumbuliwa kabisa maana tunaamini wanafundishana nyimbo za kusifu na kuabudu.. jambilo nisamehe kwa kuwaaribia faragha...Shem endeleeni tu sasa..Huyu beybi wangu amejiskia tu kunitaja...niko nampetipeti inbox eti...hapa nahisi anashtua tu mjue kuwa kuna kona namliwaza.
Hahaha dah nimekuta mshawawahi tayari sijui ntakuja kupata couple kweli dahHapana, SAA moja naweka list ya couples
Kwa imani yote yanawezekana na unajua ukiwaza mazuri ndiyo hvyo hvyo hutokea so assume anaanda maanjumati na ghafla utamwona hapa na sahani iliyosheeni..Nitafurahi kama atakuwa anafanya hivyo,maana naona zile stress za weekend zinaaza kurudi.
Sawa mkuu tutaisubiriaHapana, SAA moja naweka list ya couples
Asante shemeji.Kwanza nisamehe shem kwa kukusumbua huko ulipopataja tunapaita chumban sasa kama Kaka na Shem wapo chumbani wamejifungia huwa hawapaswi kusumbuliwa kabisa maana tunaamini wanafundishana nyimbo za kusifu na kuabudu.. jambilo nisamehe kwa kuwaaribia faragha...Shem endeleeni tu sasa..
Pole sana. Hata hiyo avatar yako inaonesha umekata tamaa kupata ubavu wako humuHahaha dah nimekuta mshawawahi tayari sijui ntakuja kupata couple kweli dah
Best angu upo? Eti ni kweli wewe mjeuri sana kama watu wanavyosema ama ni anavyokuja ndivyo anavyopokelewa tu..Wapi ankali @manoo
Dah full stress tu mkuu maisha bila ibavu yananikosesha raha tuPole sana. Hata hiyo avatar yako inaonesha umekata tamaa kupata ubavu wako humu
Hahaha,sawa shemeji.Kwa imani yote yanawezekana na unajua ukiwaza mazuri ndiyo hvyo hvyo hutokea so assume anaanda maanjumati na ghafla utamwona hapa na sahani iliyosheeni..
Daaa mkuu itakua vizur ili wengine wasio nazo wapate.Hapana, SAA moja naweka list ya couples
Natamani kukuona kwenye list.Sawa mkuu tutaisubiria
Nashukuru kwa kunielewa shemeji yangu....Asante shemeji.
Mkuu upoDaaa mkuu itakua vizur ili wengine wasio nazo wapate.
Huyu atakuepo vipi cute b keshapata kapuku single au mkuu sumbai bado anasimamia shooNatamani kukuona kwenye list.
Hapana, SAA moja naweka list ya couples
Nipo mkuu naona mbwa umemtoa nitakaa kwa Amani sasaMkuu upo