Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Mkuu habari za majukumu, patience123 wapi?My dear...upo pande hizi?
Mkuu habari za majukumu, patience123 wapi?My dear...upo pande hizi?
MAKUPUKU Wote Hongereni sana, Hii kambi yenu inakuwa kwa kasi.
aya bhanaNoma sanaPozi sasa![]()
![]()
Naona tabasam zito, wapi mr?Shem Jambilo
Mtumish wacha nimchek kuna kona nimekutana naye wacha nimshtue Patience123 shemeji yangu popote ulipo unatafutwa huku..Mkuu habari za majukumu, patience123 wapi?
Yupo hapa, anakuonaNaona tabasam zito, wapi mr?
Masanja anakata gogo?Sisi
![]()
![]()
Wao
![]()
![]()
![]()
................
Niliwaona mpo wote mda fulani Shemeji...ama?
HujaelewaMasanja anakata gogo?
Ndiyo shemeji tulionana mida flani alafu akapotea tenaNiliwaona mpo wote mda fulani Shemeji...ama?
,huyu ndugu yako atanitoa roho.Yeah pozi la gogo gogo kabisaMasanja anakata gogo?
Niyeye bhana!Hujaelewa
Anakojoa
Sio Masanja
Wamefanana
..............
Hahaha.Yeah pozi la gogo gogo kabisa
Hahahaaa ndio. Halafu bitoz anakataaYeah pozi la gogo gogo kabisa
Huyu beybi wangu amejiskia tu kunitaja...niko nampetipeti inbox eti...hapa nahisi anashtua tu mjue kuwa kuna kona namliwaza.Mtumish wacha nimchek kuna kona nimekutana naye wacha nimshtue Patience123 shemeji yangu popote ulipo unatafutwa huku..
Nitafurahi kama atakuwa anafanya hivyo,maana naona zile stress za weekend zinaaza kurudi.Hope atakuwa anarekebisha maanjumatu kwa ajili ya usiku wa leo.. Nahrene